Dr. Mary Nagu akuongea katika East Africa Chamber of Commerce Conference Dallas, TX USA  Dr. Mary Nagu ni Minister of. State Prime Minister's Office Investment and Empowerment alikuwepo kuwakirisha uko Dallas, TX USA.  
 Elkanah Odembo is Ambassador of the Republic of Kenya to the United States, nae alikuwepo katika mkutano huo.
 Eng. Musa Ndeto, The Chairman of the Board of Directors, akiongea kwenye mkutano huo
 DrEnos Bukuku (EAC) Deputy Secretary General
 Picha ya pamoja siku ya mwisho ya mkutano Dallas, TX
 Mh. Dr. Mary Nagu akipata picha ya pamoja na viongozi na washiriki waliohuzulia East Africa Chamber of Commerce Conference.
 Mkutano huo ulipambwa na ngoma ya utamaduni wadada wa kutoka Burundi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Everything is big in Texas! Big up, y'all!!! Good to see familiar faces - Shumbu, Kitova, Godfrey N., Hemed C., Ben K., etc.

    Got video? Will view......

    ReplyDelete
  2. Mary Nagu NI minister of.... ALIKUWEPO KUWAKIRISHA UKO dallas...
    Ndugu zetu wa ng'ambo mmesahau lugha au ndo mambo ya Texas haya?

    $D

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...