Jaji Kiongozi, Mhe. Fakih Jundu na ujumbe wake aliombatana nao wakipata maelezo juu ya maendeleo ya jengo jipya la Mahakama ya Wilaya Kisarawe, kutoka kwa Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo Mhe. Hadija Msongo (mwenye ushungi) katika ziara yake ya kutembelea baadhi ya Mahakama zilizopo katika mkoa wa Pwani, lengo ya ziara yake ni kujionea maendeleo ya Mahakama hizo na kujua utendaji kazi wa wafanyakazi wa Mahakama hiyo. Jaji Kiongozi pia alipata nafasi ya kutembelea Mahakama ya Wilaya ya Msoga/Lugoba, Mahakama ya Mwanzo-Kibaha Maili moja na Mahakama ya Hakimu Mkazi (Mkoa) Pwani. (Picha na Mary Gwera, Mahakama ya Tanzania)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...