Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo, ( kati kati ) akiwa ameketi kwenye dawati, na Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Benki hiyo, Gabriel Ole Loibanguti  (kushoto) na ( kulia) ni  Mwalimu Mkuu wa Shule ,Leochrista Bavon, ni baada ya makabidhiano ya madawati 50 kati ya 76 yaliyotolewa na NMB kufuatia maombi ya msaada wa Mbunge huyo ili kukabiliana na uhaba wa madawati kwenye baadhi ya shule za Msingi Jimboni humo, hafla iliyofanyika shuleni hapo, Oktoba 25, mwaka huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Zile pesa chenji ya rada zimeenda wapi nilisikia zitatumika kununua madawati, au viongozi wameweka madawati majumbani mwao

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...