Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa akina Mama Wajasiliamali kutoka Nchi za Ukanda wa Afrika, uliofanyika leo Oktoba 22, kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, ukiwa ni mkutano wa kwanza kufanyika nchini Tanzania.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano wa akina Mama Wajasiliamali kutoka Nchi za Ukanda wa Afrika, uliofanyika leo Oktoba 22, kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, ukiwa ni mkutano wa kwanza kufanyika nchini Tanzania. Picha na OMR.




Viongozi wana danganya wakina mama wakati ufasidi una endelea kutumika na wanao faidika ni wake na marafiki. Ukipiga picha na kufunguwa mikutano ya kinamama bila maendeleo yoyote una danganya tu. Una uza sura. Hakuna heshima kwa DK. Bilal.
ReplyDeleteanonymous no 1 i agree with you! how do they do to select wanawake wajasiliamali? am one of the big business woman and am not they just seeing it now........ hi sio sawa kabisa
ReplyDelete