Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim ( Mb) akizungumza wakati wa Mkutano wa 67 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini New York siku ya Jumatano na kujadili pamoja na mambo mengine Muongo wa Kuitokomeza Malaria Afrika. katika mchango wake, Naibu Waziri amesema Tanzania na Afrika kwa ujumla iko katika mwelekeo mzuri wa kukabiliana na ugonjwa huo na hasa kwa kuzingatia imekwisha kujifunza ni mbinu gani zinafanya kazi na zipi hazifanyi kazi katika kuukabii ugonjwa huo.
Home
Unlabelled
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa aunguruma New York
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...