Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa,David Shambwe (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kuzindua rasmi mauzo ya nyumba katika mradi wake mpya wa Mindu,Upanga jijini Dar es Salaam.Wengine pichani toka kulia ni Meneja Mahusiano ya Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa,Muungano Saguya,Meneja
Masoko na Utafiti wa Shirika la Nyumba la Taifa,Itandula
Gambalagi na mwisho ni Meneja
wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Upanga,Benedict Kilimba.
Meneja
Masoko na Utafiti wa Shirika la Nyumba la Taifa,Itandula
Gambalagi akiwaonyesha baadhi ya Waandishi wa Habari sehemu ya Mradi wa Jengo Jipya lililopo Mtaa wa Mindu,Upanga jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa,David Shambwe akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo mara baada ya kutembelea mradi wake mpya wa Mindu,Upanga jijini Dar es Salaam.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...