Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa,David Shambwe (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kuzindua rasmi mauzo ya nyumba katika mradi wake mpya wa Mindu,Upanga jijini Dar es Salaam.Wengine pichani toka kulia ni Meneja Mahusiano ya Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa,Muungano Saguya,Meneja Masoko na Utafiti wa Shirika la Nyumba la Taifa,Itandula Gambalagi na mwisho ni Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Upanga,Benedict Kilimba.
Meneja Masoko na Utafiti wa Shirika la Nyumba la Taifa,Itandula Gambalagi akiwaonyesha baadhi ya Waandishi wa Habari sehemu ya Mradi wa Jengo Jipya lililopo Mtaa wa Mindu,Upanga jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa,David Shambwe akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo mara baada ya kutembelea mradi wake mpya wa Mindu,Upanga jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...