Hali ya Usafiri wa kutoka Lindi kwenda wilayani Ruangwa imeendelea kuwa tatizo,hali inayopelekea Mabasi ya Abiria kujaza abiria zaidi ya ilivyopangwa na Sumatra kama inavyoonekana pichani huku ikimlazimu kondakta wa basi kukosa nasafi na kulazimika kukaa katika ngazi huku basi hilo likiendelea na safari...Baadhi ya abiria wameiomba mamlaka hiyo ya Usafirishaji kuangalia hali hiyo ambayo ni ya hatari sana. 
Kondakta wa Basi hili akiwa amening'inia kwenye ngazi huku basi likiendelea kwenda.
Abiria wakiendelea kupanda basi ambato tayari linaonekana limeshajaa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. sumatra hawana mabasi kwamba watayapeleka huko Ruangwa, sumatra sio wanaowalazimishi watu wazima wenye akili zao kupanda mabasi yaliojaa kupita kiasi, iombe serikali yako ya "maisha bora kwa kila mtanzania" itandike lami hiyo njia uone jinsi mabasi yatakavyoongezeka!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...