Mhe.Job Ndugai,Mb. Naibu Spika na Kiongozi wa Msafara wa Wabunge wa Tanzania akiwa katika mazungumzo na Mhe.Mohamed Habib Mnyaa (kulia) ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Viwanda na Biashara katika Bunge la Nchi za SADC.Kushoto ni Mhe.Anna Abdallah ambae pia ni mjumbe wa Tanzania katika Bunge hilo akiwakilisha wanawake.
Picha na Saidi Yakubu wa Ofisi ya Bunge.
Home
Unlabelled
UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA SADC PF NCHINI MALAWI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Huu mgogoro baina yetu na jirani hauna msingi.Sisi na Malawi tukubali kufuta mipaka ya kikoloni, we sould become one country, we are all Africans, wabantu.Enzi hizo za utoto wetu jamaa medical assistants karibu wote waliotulea na kututibu malaria walikuwa wanyasa, wakina Nyirenda.Walimu, wafanya biashara walikuwa wavuka ziwa kuja upende huu kama ni kwao pia, sasa huu ukhasama umeletwa na nini na kufanya hiki changu, hiki chako?
ReplyDelete