Mafundi wakiwa katika harakati ujenzi wa nyumba ya milele (Kaburi) ya Aliekuwa Kamanda wa Polisi Mkoani Mwanza,Marehemu Liberatus Barlow (RPC) huko kijijini kwao Kilema Kioo,Mkoani Kilimanjaro mapema leo asubuhi.Marehemu Liberatus Barlow (RPC) aliuwawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi huko Kitangiri,jijini Mwanza hivi karibuni.
Hii ni sehemu iliyotengwa maalum kwa viongozi.
 Viongozi mbali mbali wakiwa kwenye Misa ya Kuaga Mwili wa Marehemu.
 Mwili wa Marehemu ukiwasili Nyumbani.
 Brass Band ya Polisi ikiongoza
 Misa ikiendelea,

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...