Mafundi wakiwa katika harakati ujenzi wa nyumba ya milele (Kaburi) ya Aliekuwa Kamanda wa Polisi Mkoani Mwanza,Marehemu Liberatus Barlow (RPC) huko kijijini kwao Kilema Kioo,Mkoani Kilimanjaro mapema leo asubuhi.Marehemu Liberatus Barlow (RPC) aliuwawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi huko Kitangiri,jijini Mwanza hivi karibuni.
Home
Unlabelled
Maandalizi ya Nyumba ya Milele ya Marehemu RPC Liberatus Barlow huko kijijini kwao Kilema Kyou,Kilimanjaro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...