Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza,Mh. Peter Kallaghe wakati akiwasili kwenye ofisi za Ubalozi nchini Uingereza alipofika kukutana na kuzungumza na Watanzania waishio nchini humo.Katikati ni Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akizungumza na Watanzania waishio nchini Uingereza (hawapo pichani) katika mkutano uliofanyika hivi karibuni kwenye Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini humo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...