Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam kusisitiza utaratibu wa usajili wa magari
ya Umma unafuatwa na kutafanyika zoezi rasmi la kurejesha usajili wa magari yote.Serikali imetoa muda wa hadi kufikia Novemba 15,2012 magari ya Umma yaliyo na namba za kiraia, yarejeshwe namba stahiki za magari ya Umma . Baada ya hapo Operesheni hiyo itakamata magari, pikipiki, bajaj na mitambo ya umma,Vilevle kutakuwa na aina ya namba za usajili zitakazotumika kama ST, PT, MT,JW, DFP, CW, SM na ,SU.Hadi sasa serikali imesajili vyombo vya moto,123,431 yakiwemo magari,,pikipiki,bajaj na mitambo ya umma.Kulia ni Mkuu wa Polisi kikosi cha Usalama barabarani,Kamanda Mohamed Mpinga
Kaibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Balozi Hebert Mrango (ailesimama)akifafanua jambo wakati wa mkutano wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
"kuna walionununua magari ya serikali lakini bado hawajayabadilisha namba za usajili" ndivyo anavyoonekana kukumbusha kamanda Mpinga kwa Waziri Magufuli.


akifafanua+jambo+wakati+wa+mkutano+wa+waandishi+wa+habari+(h.jpg)
Mtakamata na ya Ikulu na Ofisi ya makamu wa Rais???
ReplyDeleteKibao kipya hicho ngoja nikinunue kabla hakijachuja.
ReplyDelete