Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Chwaka kuhusu mzozo wa Uvuvi kwa wananchi hao na ndugu zao wa Kijiji cha Marumbi,katika uwanja wa Skuli ya Kijijini,pia aliwaomba kuwa kitu kimoja kuondosha tofauti zao.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdilah Jihadi Hassan,pamoja na Viongozi wengine alipowasili katika viwanja vya Skuli ya Chwaka,kuzungumza na wananchi hao kuhusu mzozo wa Uvuvi na ndugu zao wa Kijiji cha Marumbi, ambapo aliwaomba wananchi hao kuondosha tofauti zao.
Baadhi ya Viongozi na wazee walioufuatana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, wakati alipofanya mazungumzo na wananchi wa Kijiji cha Chwaka, kuhusu mzozo wa Uvuvi na ndugu zao wa Kijiji cha Marumbi , ambapo aliwaomba wananchi hao kuondosha tofauti zao.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwapungia mkono wananchi wa Kijiji cha Chwaka kama ishara ya kuwaaga,baada ya mazungumzo na wananchi hao kuhusu mzozo wa Uvuvi na ndugu zao wa Kijiji cha Marumbi,katika uwanja wa Skuli ya Kijijini hapo jana,pia aliwaomba kuwa kitu kimoja kuondosha tofauti zao.{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.}

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...