Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi uliopo mkoani Tabora unavyoonekana wakati wa michezo ,hapa ilikuwa ni moja ya michezo ya ligi daraja la kwanza Taifa inayoendelea,mchezo ulikuwa ni kati ya timu za Rhino ya Tabora 
na Mwadui ya Sinyanga. Uwanja huu ndio pekee unaoweza kuchukua mashabiki pamoja na vyombo 
vyao vya usafiri. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Moshi aliyekuwa Tabora.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. subirini mpaka kuwe na mkutano wa mh.kikwete ndio kiwanja chenu kitajengwa walau kidogo na kupigwa rangi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...