Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezaeshaji Kiuchumi, Anaclet Kashuliza akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufungua shindano la kuandika michanganuo ya biashara na kuvishirikisha vyuo vikuu vilivyopo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB ndio wadhamini wa shindano hilo.
Mkurugenzi wa Kitivo cha Ujasiriamali cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDEC), Maria Nchimbi akitoa mada wakati wa shindano la kuandika michanganuo ya biashara na kuvishirikisha vyuo vikuu vilivyopo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB ndio wadhamini wa shindano hilo.
Ofisa Masoko wa CRDB, Emmanuel Kiondo akitoa mada kuhusu huduma zinazotolewa na benki hiyo wakati wa shindano la kuandika michanganuo ya biashara na kuvishirikisha vyuo vikuu vilivyopo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB ndio wadhamini wa shindano hilo.
Ofisa Masoko wa CRDB, Emmanuel Kiondo (kushoto) akiwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezaeshaji na Kiuchumi wakati wa shindano la kuandika michanganuo ya biashara na kuvishirikisha vyuo vikuu vilivyopo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB ndio wadhamini wa shindano hilo.
Baadhi ya washiriki wakipata maelezo kutoka kwa maofisa wa benki ya CRDB
Baadhi ya Wanafunzi wa vyuo vya Elimu ya Juu wakipewa vipeperushi kutoka kwa Ofisa wa benki ya CRDB, wakati wa shindano la kuandika michanganuo ya biashara na kuvishirikisha vyuo vikuu vilivyopo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB ndio wadhamini wa shindano hilo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...