Mhe.Dk.Hussein Mwinyi (Mb,)Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii amewasili Washington DC kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kufungua rasmi mkutano wa Magonjwa ya Tropiki Yaliyosahauliwa(Neglected Tropical Diseases), mkutano ambao utadumu kwa siku tatu. Pichani Dk.Hussein Mwinyi akipokewa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles na Bw.Suleiman Saleh, Afisa wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Washington DC.
---
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...