Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mtayarishaji tafadhali maswali andika kwa font kubwa

    ReplyDelete
  2. Afadhali umelisema hilo, anonymous wa kwanza. Huu ni uzembe wa hali ya juu kwa mtu ambaye kazi yake ni kuandaa clips kama hizi. Hata kutumia akili kidogo kufanya maandishi yasomeke vizuri kwenye screen?

    Pili, lugha yake inatia kichefuchefu kweli. Inashangaza kazi ya chama kama hiki hata haifanyiwi uhariri? Hapo inahitaji mtu mmoja tu wa kufanya proof-reading kusingekuwa na makosa ya kipuuzi kama ya kutokuweka space after commas, kuweka capital letters ovyo, kiswahili kibovu, kingereza kibovu (sirial number).

    Watanzania tutaendelea lini???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...