Wanamuziki wa bendi ya FM Academia wakitumbuiza wakati wa promosheni ya bia ya Windhoek uliofanyika katika ukumbi wa Alcade wakati wa sherehe ya Sikukuu ya Krismasi  jijini Dar es Salaam. Bendi hiyo inadhaminiwa na kampuni ya Mabibo Wine kupitia kinywaji chake cha Windhoek. (Picha na Habari Mseto Blog)
 Kiongozi wa bendi ya FM Academia, Nyoshi El Sadati (kushoto) akiwaongoza wanamuziki wa bendi hiyo wakati wa promosheni ya bia ya Windhoek iliyofanyika katika ukumbi wa Alcade
 Wacheza shoo wa FM Academia wakifanya vitu vyao jukwaani
Baadhi ya mashabiki wa FM Academia wazee wa Ngwasuma wakiselebuka

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Huu ndo muziki bwana, full vipaji siyo masuala ya playback.

    ReplyDelete
  2. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...