Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. HUYU SIDHANI KAMA AKILI YAKE IKO SAWA SAWA

    ReplyDelete
  2. Wanajeshi hawashindwi kitu bwana, ingekua wahandisi wetu hapo wangeitisha mamilioni kuondoa hiyo nguzo.

    ReplyDelete
  3. Huyu aliyefanya hivi nadhani anastahili zawadi ya Nobel ya Uhandisi, kama ipo!! Michuzi warushie Oslo Norway waweze kuona ubunifu wake uliotukuka!

    ReplyDelete
  4. hata hisabati ina njia nyingi sana za kufanya, ili mradi upate jibu sahii!

    ReplyDelete
  5. Inaelekea huu ni mgogoro kati ya mwenye nyumba na TANESCO. TANESCO wamekataa kuondoa hiyo nguzo ya ku-support nguzo ya umeme na yeye hawezi kuigusa. Kwahiyo alichokifanya ni kuwa-accommodate TANESCO....angewakatia pesa kidogo wangetafuta namna...kazi kweli kweli....!!

    ReplyDelete
  6. Hii ni kwa sababu serikali haijaweka bayana taratibu na sheria za ujengaji. Kwa afya hii aifai kwa sababu umeme ninhatari hata kwa afya. Kwa kawaida nguzo za umeme zinatakwa ziwe umbali fulani toka nyumba. Hii inaonyesha uwazi kwamba hamna sheria iliyotumika. Watu wa Ardhi, Tanesco na mwenye nyumba waende shule!

    ReplyDelete
  7. Huyu kweli ni JUHA! sasa ndo kafanya nini? sheria za ujenzi karibu na nguzo hajui?

    ReplyDelete
  8. Katika maisha, omba Mungu fedha ikutembelee baada ya kupata akiri. Hapa mmiliki ametembelewa fedha kabla ya akiri. Ajue nguzo za TANESCO zinazoagizwa 'South Africa' huoza. Zikioza gharama alizozikwepa atazirejerea kwa sababu nguzo iliyo nyumbani kwake haitakuwa na support tena. Haishangazi, TANESCO watakuja kuhamisha baadae nguzo hiyo. Kaka bati lako la Sauzi itabidi ununue jipya kuziba tundu.

    ReplyDelete
  9. Hapo ni makongo jeshini. WANA KAUSEMI KAO BANA. (i) ,'JENERAL NEVER FAIL.
    (ii)'IF U THINK WILL FAIL, REFER (i)above that JENERAL NEVER FAIL.
    Kilichofanyika hapo ni amri.

    ReplyDelete
  10. Tatizo la kujenga kwenye "Squarters". Ingekuwa kiwanja cha kupima na ramani imepitishwa na Halmashauri, hali hiyo isingekubalika.

    ReplyDelete
  11. Tatizo la kujenga kwenye "Squarters". Ingekuwa kiwanja cha kupima na ramani imepitishwa na Halmashauri, hali hiyo isingekubalika.

    ReplyDelete
  12. Kama nguzo hiyo inavyo dhihirisha,

    Kila kitu kinawezekana ndani ya Bongo Tambarale!!!

    ReplyDelete
  13. Hapo TANESCO wakale wapi?

    Tanesco watakuwa wanajua ni kosa isipokuwa wamewaacha ili iwe ni kama Mradi wa Saccoss kwao, kila wakichacha wanapita hapo kuchomoa hela za kula!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...