Home
Unlabelled
KONTENA LA KONDOM FEKI LADAKWA BANDARINI DAR.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamanihii nchi tunaelekea wapi sasa.Mimi nashauri katika kipindi hiki cha mpito huku tukisubiri vyombo husika viteketeze ama kurudisha shehena hiyo India ni vema "TUNGEACHA KIDOGO MAMBO YA NGONO" mpaka hapo kondom fake zilizopo madukani zimeondolewa na kuteketezwa kabisa.
ReplyDeletejamani hapo bandari ya Dar es salaam tusipokua makini watanzania tutakufa woote..haiwezekani mtu mmoja au kikundi cha watu wachache kwa ajili ya ufisadi wao waangamize taifa..
ReplyDeletekwa nini watu hao wasinyongwe tu??..tunamshukuru Mwakyembe kwa kuisafisha hio bandari..timua watu wote wasio waadilifu...kuna watu wapo mtaani wanahitaji kazi..watu washazoea hizo kazi na wanafanya wanavyotaka,,,timua wote wachafu,,nyonga wote hao,,
Hizi zilikuwa tayari kwa ajili ya kuuwa watu. Duh, Ubinafsi ni noma kweli ,watu wala hawajali kabisa. Wanasahau wana ndugu zao, au watoto wao watazitumia pia . Tanzania imefikia pabaya sasa.
ReplyDeletehabari hii bado haijakamilika, ilipasa mwandishi atuambie majibu kutoka fair deak exim kuhusu hizo condom zao feki, alafu tulitaka mwandishi atoe majibu baada ya kuwaoji mamlaka husika ni hatua gani za kisheria zitafuata kama zipo na kama hazipo nini wanatarijia kufanya! Zaidi ya hapo atakua kama ma-repoter wengine tu!
ReplyDeletekwani lazma kufanya ngono zembe?dawa ni kuowa/kuolewa.wacha wazinifu waendelee kuteketea
ReplyDeleteAhhh,
ReplyDeleteKwa nini tusirudi kwenye swala?
Ngono sasa basi!