Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) akitoa hutuba yake baada ya kuwatunuku Vyeti, Shahada na Stashahada, wahitimu wa fani mbali mbali wa katika sherehe za Mahafali ya nane ya chuo hicho leo Zanzibar. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
Mahafali ya nane ya Chuo Kikuu cha State University of Zanzibar leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...