Mjasiriamali kutoka Lindi, Bwana Amir Chembe (kushoto) akitoa maelezo ya bidhaa zake kwa wananchi waliotembelea banda la Tanzania tarehe 3/12/2012 kwenye maonesho ya 13 ya Nguvu Kazi/Jua kali yanayoendelea katika viwanja vya Musee Vivant mjini Bujumbura.
Wajasiriamali kutoka Zanzibar, wakiwaonesha wananchi waliotembelea banda la Tanzania tarehe 3/12/2012 jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji kwenye maonesho ya 13 ya Nguvu Kazi/Jua kali yanayoendelea katika viwanja vya Musee Vivant mjini Bujumbura.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...