Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bw.Rene Meza, akimkabidhi hundi yenye thamani ya Tsh 500,000 mfanyakazi bora wa mwezi wa kampuni hiyo Bw.Taha Madan,anaeshuhudia kushoto ni Ofisa Mkuu wa kitengo cha IT&Billing Bw.Luis Fedriani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza,akiongea na wafanyakazi wa kampuni hiyo kuhusiana na mafanikio ya mwaka huu ya kampuni hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakimsikiliza Mkurugenzi wao Bw.Rene Meza akiongea nao kuhusiana na mafanikio ya mwaka huu ya kampuni hiyo.
Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Bw.Rene Meza (kulia) akiwapongeza baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo mara baada ya kuwakabidhi hundi yenye thamani ya Tsh 500,000 kwa kufanya kazi katika kampuni hiyo kwa muda wa zaidi ya miaka kumi tangia ianze kutoa huduma zake hapa nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...