Mnuso kama kawaida yetu Tarehe 24-Dec-2012 ni siku ya kuwakilisha X-Mass eve Ndani ya Oslo Norway. Ni siku ya kuwakaribisha nyote ambao mupo karibu na Brugata 1 Oslo, tutakuwa na vyakula mbali mbali 
pia vinywaji aina tofauti hili kukamilisha sherehe hii. Basi wewe kuwa karibu na sisi pia mjulishe mwenzio kuwa tunamambo mbali mbali ya kiutamaduni na Music ya kizazi kipya yani Bongo Flavaz remix na Azonto 
Style, Afro beat. Nk   yani Burudani tere ndani ya Buffalo Bristor jina la zamani Sorento Oslo Norway.
              Kiingilio ni Chakula na kinywaji 150 kr. na after kl.00-03 ni 50 kr.
                More inf:- Contact- +47 96872483 
Dj Pred a.k.a Abdul Mpily.
                                  www.safariitanzania.com
pred-xmas.jpg

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...