Wakati kumbi za madisko zikiwaka moto kwa ngoma kali enzi hizo, kwenye majumba ya sinema jijini Dar na kwingineko mambo ya sinema za kihindi yalikuwa juu miaka ya 80 katika majumba ya Odeon, Cameo, New Chox, Empress, Empire, Avalon hata pale Msasani Drive-in (mnaangalia sinema nje bila kusikia sauti, ila kuna mabingwa walikuwa wanakuhadithieni muvi yote kwa kimatumbi).
Steringi aliyetamba sana mmoja wao ni Amitabh Bachchan ambaye mbali na kurusha mangumi pia alikuwa anatambna sana kwenye kuimba, mfano ikiwa ngoma hii ya 'Rote Rote Hasna Seekho - Andhaa Kanoon' Wenye data na kuweza kutafsiri msaada tutani pliiizzzz...
Home
Unlabelled
ngoma azipendazo ankal
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
hee heeee heeee Rote Rote Hasna Seekho....mmmh nilikuwa Form I bwenini mahali fulani..ndiyo kwanza nimetoka kijijini nashangaa Video,mara ya kwanza kuiona....Asante Ankal kwa kumbukumbu.Lakini hadi sasa hivi hizi Filamu za kutoka India bado 'zinatesa' sehemu fulani fulani za nchi.
ReplyDeleteDavid V
Hapo waharibifu badala ya kusema 'Rote rote' wao wanasema,,, LOOTE LOOTE !
ReplyDeleteDu asante sana... umenikumbusha mbali sana... Mjomba wangu alikuwa akuimba huu wimbo sana... jamani nangojea tafsiri yake....
ReplyDelete***** Original Lyrics of the song *****
ReplyDeleterote rote hasanaa sikho, hasate hasate ronaa
jitanee chaabee bharee raam ne, utanaa chale khilaunaa
hum do yek humaaree, pyaaree pyaaree muniyaa hain
bas yahee chhotee see apanee saaree duniyaan hain
khushiyon se aabaad hain, apane ghar kaa konaa konaa
badee badee khushiyaan hai, chhotee chhotee baaton mein
nanhe munne taare jaise, lanbee raaton mein
ayesaa sundar hain ye jeewan jaise koee sapan salonaa
mausam badale to mat dar jaanaa, gudeeyaan raanee
saawan mein bijalee chamakegee, barasegaa paanee
dharatee anbar bheeg jaaye, nainon ko naheen bhigonaa
******* Translation to the best of my understanding ******
Don’t cry, learn to laugh and when laughing don’t cry
The toy will move only as much as you wind its keys
We are a couple and we have a very sweet daughter
the small one means the whole world to us
All the corners of our house are filled with happiness
there is lots of happiness in small small matters
just like millions of small stars in a long night
like a dream such wonderful is our life
My dearest daughter don’t get scared when the weather changes
Thunder and lightning, rain will fall
The earth will get wet but don’t wet your eyes
ReplyDeleteee bwana umenikumubusha ticket mbu drive in msasani nilishawahi kuruka ukuta nikadakwa na walinzi the outcome was not good nashukuru kwani hatukuishia oysterbay polisi.
kwa kweli ile miogo iliyokuwa ikichomwa pale drive inn ilikuwa na utamu wa aina yake huku pembeni ukiwa na mtafasiri wako anayekudanganya huku naye anajua kuwa anakudanyanga lakini unamsikiliza hivyo kusogeza masaa.
Nina kumbuka Ladies Show kila Jumamosi na Jumapili sa nane mchana.Asante.
ReplyDeleteAnkal umenikumbusha mbali wakati huo kuipata ticket ya movie mpya ilikuwa mbinde inabidi uwe na msuli otherwise utainunua bei mara mbili. wauzaji wakubwa wa ticket wakati huo kina Masanga, Raja kaka, Gashu, Kibonge na wengi wengine duh!!! kweli tumetoka mbali.
ReplyDeleteMdau Min zaman.
I can't believe you chose to show Amitabh Bachchan...Asante Bwana Michuzi
ReplyDeleteYEH DOSTI- SHOLAY WAS MY FAVOURITE, ACTUALLY SHOLAY IS MY BEST MOVIE EVER!
ReplyDeleteMzee hiyo inanikumbusha mbali sana Enzi hizo Kule Metropol Arusha haiku na hata kwenda Sunday school
ReplyDelete