Bia ya Ndovu Special Malt inayotengenezwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),mwishoni mwa wiki iliyopita ilifanya party kubwa ya kuuaga mwaka wa 2012 na kuukaribisha mwaka 2013 ikiwa ni maalum kwa wadau wake,iliyofanyika kwenye Bwalo la Polisi (police officers mess),Masaki jijini Dar es Salaam.ambapo wadau mbalimbali waliweza kuhudhulia hafla hiyo.Picha ya juu ni Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Bi. Kushila Thomas akiwa na mumewe.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...