Wapendanao Frank Komba na Sanura Haji Kihemka wakipozi wakati wa mnuso wa nguvu walioandaa kwenye ukumbi maarufu wa Stallion Garden ulioko Mikocheni Mlalakuwa jijini Dar es salaam baada ya kumeremeta kwao usiku wa kuamkia leo
 Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Bw Salva Rweyemamu akipozi na maharusi pamoja na baadhi ya wafanyakazi wenzie Bi Harusi katika mnuso huo wa kukata na shoka
 Maharusi wakila pozi na wadau wao wa karibu
 Maharusi na wadau
Familia ikijumuika na maharusi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...