Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Asiye na Wizara Maalumu, Profesa Mark Mwandosya (kushoto) akiwasili kwenye Uwanja mpya wa Ndege wa Songwe jijini Mbeya wakati alipokwenda kuutembelea na kuangalia jinsi utendaji kazi unavyoendelea.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Asiye na Wizara Maalumu, Profesa Mark Mwandosya (kushoto) akipokea maelezo kutoka kwa muongozaji wa Ndege aliopo uwanjani hapo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Asiye na Wizara Maalumu, Profesa Mark Mwandosya na mkewe Mama Lucy Mwandosya wakiwa katika mazungumzo na viongozi wa Mamlaka za viawanja vya Ndege waliokuwepo uwanjani hapo.
Kibao kinachoonyesha ulipo uwanja wa Ndege huo.
Runway ya Uwanja wa Songwe inavyoonekana kutoka angani.
Bango la songwe airport haliendani na hadhi ya uwanja....lol
ReplyDeleteSure, let the ministry declare it is an international airport and sell it outside. Later we will be complaining Kenyans are so aggressive. Let do it now!
DeleteAgree with the comments above!we need the Government to be firm on that coz missing the code Intenational will result into losing a lot....
ReplyDelete