Ndugu wapendwa:
 Kwa niaba ya ndugu yetu Richard Mwandemani (DJ Rich Maka) familia yake, ndugu na jamaa, tunapenda kutoa  shukran zetu za dhati kwa ushirikiano mwema mliouonyesha toka mzee wetu Edson Mwandemani alipokuwa amelazwa hospitali kwa kuja kumjulia hali hadi  kilio kilipotokea  jinsi mlivyoshughulika kwa misaada yenu ya hali na mali.

Hatuna cha kuwalipa ila Mwenyezi Mungu mwenyewe atawalipa malipo yalio stahili.

 Mwili wa marehemu mzee Mwandemani utaondoka Ijumaa tarehe 28 December, 2012 kwa safari ya kwenda nyumbani na kufika Tanzania Jumapili  jioni December 30, 2012.

Asanteni sana na shukran kwa wema na ukarimu wetu.

Isaac Kibodya, kwa niaba ya Richard Mwandemani  (DJ Rich Maka) na familia yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...