Familia ya ndugu Hassan Gobos wa Dar es Salaam ina wataarifu ndugu, jamaa na marafiki wote kuwa shughuli ya khitma na arobaini ya marehemu mama yao mpenzi Nuru Mterekezo itafanyika siku ya jumapili tarehe 9 December nyumbani kwao Sinza Mori Dar es Salaam.

Kwa taarifa zaidi tafadhali wasiliana na:
Ibrahim Gobos 0787 208060/0713246215
Zena Gobos  0712 743994

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...