Wajumbe na Sekretariati ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakiongea na viongozi wa Wilaya ya Geita kabla ya kuanza mikutano ya kukusanya maoni wilyani humo hivi karibuni.
Bw. Mrisho Ahmad Simbatu (70) mchimbaji wa madini, mkazi wa kijiji cha Mgusu, Wilaya ya Geita, akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano uliofanyika wilayani humo hivi karibuni.
Bw. Mhoja Kiuga Mabula (56) mchimbaji wa madini, mkazi wa kijiji cha Mgusu, Wilaya ya Geita, akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano uliofanyika wilayani humo hivi karibuni.
Bi. Sikitu Salum Mohamed (32) mkulima, mkazi wa kijiji cha Mgusu, Wilaya ya Geita, akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano uliofanyika wilayani humo hivi karibuni.
Bw. Mussa Kadoke Lukabile (35) mkulima, mkazi wa kijiji cha Mgusu,Wilaya ya Geita, akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano uliofanyika wilayani humo hivi karibuni.
Bw. Ashura Hamis Somba (53) mkulima, mkazi wa kijiji cha Mgusu, Wilaya ya Geita, akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano uliofanyika wilayani humo hivi karibuni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...