Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Mpanda mkoa wa Katavi,tayari kwa ziara yake ya kikazi katika jimbo la Katavi kukagua shughuli za maendelo.
 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya maofisa wa shirika la nyumba NHC ambao wapo mkoani Katavi katika ujenzi wa nyumba katika mkoa huo mpya.Picha na Chris Mfinanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...