Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo kusini Mwa Afika SADC Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na na Rais wa Madagascar Andry Rajolina(kulia),Rais Wa Namibia Hifikepunye Pohamba(kushoto) na Rais wa Msumbiji Armando Guebuza Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi wakati wa kikao cha Kamati hicho leo. Picha na Freddy Maro wa Ikulu
Home
Unlabelled
aongoza kikao cha Asasi ya Siasa,Ulinzi na Usalama cha SADC Rais Adry Rajoelina wa Madagascar ahudhuria
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...