Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (wa tatu kushoto) akipokea sehemu ya vifaa 100 vya kubebea taka vyenye thamani ya sh milioni 3.5,kutoka kwa
Meneja Mikopo wa BankABC, Eugenia Shayo (wa pili kulia) wakati wa hafla
fupi ya makabidhiano hayo iliyofanyika kwenye Ofisi ya Meya,Kinondoni
jijini Dar leo.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni,Mh. Yusuph Mwenda akizungumza na waandishi wa habari, mara baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo.
Aibu kwa Meya kupokea vifaa hivyo.
ReplyDeleteKodi zote munazokusanya munashindwa kukusanya taka?
Humu naona meya wa Ilala na huyu wa kinondoni, Temeke hakuna Meya? au pengine siyo "Photogenic" ?
ReplyDelete