Waziri wa nchi, Ofisi ya ya Rais (mahusiano na Uratibu) na Mbunge wa Bunda Mhe Steven Wasira (kulia) akikumbatiana na Mbunge wa Arusha mjini Mhe Godbless Lema katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma 
Baadhi wa wabunge wakielekea katika ukumbi wa mkutano Bungeni mjini Dodoma
 Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mhe  Freeman Mbowe (kulia) , Mhe Godless Lema (katikati- Arusha mjini) pamoja na Mbunge  wa Musoma Mjini, Mhe Vicent Nyerere  wakielekea katika Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma. Mbunge  Lema amerudi tena Bungeni  baada ya kushinda kesi yake
 Wabunge wa Iramba  Magharibi Mhe Mwingulu Nchemba- CCM (kulia), Mhe Joseph Selasini( Mbunge wa  Rombo- CHADEMA ), na Mbunge wa NCCR- MAGEUZI, Mhe Moses Machali wakiwa katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma(Picha zote na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. hivi nasi tunaruhusiwa kuvaa bendera ya taifa kama anavyofanya huyu ndugu? Akitukana mtu ameivaa inakuwaje.
    Sheria ya alama za Taifa inasemaje?
    Wahusika wanaangalia tu?

    ReplyDelete
  2. MDAU NAMBA MOJA
    ACHA UKOLONI

    ReplyDelete
  3. Watanzia wengi hatujui kwamba, kuwa alama ya taifa karibu yako iwe skafu,bendera,nguo ni moja kati ya uzalendo unaozungumziwa, mdau wa kwanza hapo juu anauthibitishia umma juu ya ufahamu mdogo walionao wengi huko nyumbani juu ya matumizi ya bendera ya taifa.Kwa wanadiaspora hili ni suala lenye kueleweka na la kujivunia.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...