Hizi ni baadhi ya Taswirazz za Wilayaya Mpya ya Buhigwe,Mkoani Kigoma kama zinavyoonekana hapa.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Hili shamba la migomba nalipenda.

    ReplyDelete
  2. Bw. Michuzi, ahsante kwa picha hizo.
    Laiti kila picha ungeiwekea maelezo walau kiduchu ingefaa zaidi.

    ReplyDelete
  3. Picha nzuri.Laiti kila picha ingewekewa maelezo walau kiduchu,
    ingependeza zaidi.

    ReplyDelete
  4. Angalia ardhi ilivyo ba rutuba, halafu bado tunalia njaa!

    ReplyDelete
  5. Taswira inapendeza lakin hilo shimo barabara itakatika mvua ikinyesha. Wadau waliangalie kwa makini

    ReplyDelete
  6. hAZINA ILIYOSITIRIKA WENGI HAWAJUI KABISA KAMA KIGOMA KUNA NDIZI ZA KUMWAGA NA KUHAWA bORA KULIKO ZOTE TANZANIA

    ReplyDelete
  7. Shamba ni zuri sana utafikiria huko Bukoba, mwenye shamba hili nampa Bigup hata kama ni la Serikali anayelishughulikia hongera sana

    ReplyDelete
  8. Nchi ya asali na maziwa! Nchi yenye ardhi yenye rutuba. Wale omba omba Dar wanafanya nini jamani wasirudi nyumbani kwenye neema ya vyakula kuliko kuteseka kwenye jua??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...