Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo,Ally Chocky akiimba wakati wa Bonanza la kila jumapili Garden Breeze Magomeni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo wakicheza wakati wa onyesho la Bendi hiyo katika Bonanza la kila jumapili Magomeni Garden Breeze jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo,Ally Chocky,akicheza sambamba na wacheza shoo wake katika Bonanza la kila jumapili Garden Breeze Magomeni jijini Dar es Salaam.
Mpiga Dramu wa Bendi ya Extra Bongo,Martine Kibosho akiwajibika wakati wa onyesho la Bendi hiyo katika Bonanza la kila jumapili Magomeni Garden Breeze jijini Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...