Timu ya Highway ya Madaba mjini imechezea kichapo cha Mabao 3-0 kutoka kwa mabingwa wa kombe la Muungano Mufindi timu ya Holy Family ya Bombambili Songea Mjini. Hapa mshambuliaji hatari wa Highway akiwatoka mabeki wa Holy Family lakini waaaaapi!!!!! 
Picha na mdau Gerson Msigwa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...