Birthday boy Allan Rwechungura (kulia) akionyesha ishara ya peace akiwa na marafiki zake waliohudhulia hafla ya siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika hivi karibuni kwenye kiota cha maraha cha Mel Moz,Mikocheni jijini Dar.
Mdau Terence (kulia) akiwa na marafiki zake  Philly na Ombeni wakati wa hafla fupi ya kusherehekea kuzaliwa kwa rafiki yao Allan Rwechungura (hayupo pichani).
Birthday Boy,Allan Rwechungura (kati) akiwa na warembo waliohudhulia kwenye hafla yake hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Alizaliwa kwenye Kiota! Happy Labour Day Mama Allan Rwechungura. Kama Upo, usijali ndivyo hivyo

    ReplyDelete

  2. BEAUTIFUL SMILES!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...