Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. BASI KAMA JIJI LIMEKUWA NA BIN BASI TANZANIA KUMEKUCHA JAMANI.LOL MDAU WALTHAM FOREST.

    ReplyDelete
  2. hilo jiwe walalivunja tu maana wakati wa kuzitoa taka zikijaa watakuwa wanalibeba mara kwa mara na siku litavunjika

    kazi rahisi sana serikali kuweka mabini ya taka ya maana yaliyosimamishwa kwa nguzo za chuma lakini watu wanakimbilia bungeni tu uraiani zero

    ReplyDelete
  3. Hongera sana Waste Green Pro!!!

    Kazi nzuri sana,

    Wana Dari salama na wa Tanzania kwa ujumla tubadilike sasa, kwa kuwa Jiji limekuwa likitutia aibu sana kwa marundo ya taka taka, mifereji ya maji taka na kunuka uvundo!

    Imefikia muda sasa hata ukitaka kula kitu OUTDOOR inakuwa mgogoro kwa kuwa kila sehemu ni chafu, na harufu kila mwelekeo wa pua hata kumeza chakula inakuwa vigumu!

    Ndugu hawa wameanza na sisi tutoe ushiriakiano kwao.

    TUFIKIE KUSEMA YA KUWA BILA UCHAFU DARISALAMA INAWEZEKANA!!!

    ReplyDelete
  4. Kinachofuata ziwekwe Sheria kali na adhabu kwa ukiukaji wa Usafi!

    Pana Magahawa mmoja (jina kapuni) kati kari ya Jiji maeneo ya Posta Mpya pana Kituo cha mafuta na Mgahawa upo hapo,,,huwezi kuamini si utani pana chemba moja ina tiririsha maji taka huku harufu kali ya kinyesi ikizagaa kila kona!

    Mimi nashangaa wanaokula mle ndani au waendeshaji sijui hawaisikii harufu ile?

    ReplyDelete
  5. Tutegemee Wageni wengi sana kutoka nje!,

    Kwa kasi hii ya uwekezaji nchini kutokana na Uchumi mpya wa Sekta za Gas,Oil and Minerls, Banking,Telecommunications and more.

    Hivyo ili kuepuka aibu kutoka kwa wageni wetu tunahitaji kutoa ushirikiano wa dhati kuhusu suala hili la usafi Jijini kwa Wandugu hawa Green Waste Pro!

    Pamoja inawezekana!

    ReplyDelete
  6. safi sana huu ni mfano wa kuigwa, nashindwa kuelewa kwanini makampuni ya simu yasingejitangaza kwa kusaidia kuweka dustbins

    ReplyDelete
  7. Mpango huu naona vizuri wapeleke madebe haya ya taka taka katika shule za chekechea (vidudu), Shule za Msingi, na pia sekaondari zote katika Jiji la Dar Es salaam, na wawafundishe watoto umuhimu wa kutupa taka taka kwenye Madebe hayo. Maana kwa sa ni vizgumu sana kwa wtu wazima wengi wa Dar Es salaam kujua umuhimu wa kutupa tka kwenye Madebe hayo. Maana nilisha ona kampeine nyingi za aina hiyo bila mafaniukio. Madebe yaendane na Elimu. Mpango mzuri utaaza Jiji safi. Tuache mbwembwe za Meya wa Ilala na wengine wa kutaka Picha. Let bus be serious! Uchafu unatuau sana wana Dar es slaam. Unaua fikra, mititzamo na mnk.

    ReplyDelete
  8. Wangeweka mawili, moja la "recyclable waste" na moja la taka nyenginezo. Mdau wa 2:20pm hapo Posta pana Ghorofa la Mall ukipita linatoa majitaka yenye harufu kali kabisa.

    ReplyDelete
  9. Safi sana....lakini hilo bin si bora liwekwe pembeni hapo pembeni na hayo mashimo ya karo ili njia ya waendao kwa miguu iwe wazi zaidi?

    ReplyDelete
  10. Mangi wa KiboshoFebruary 09, 2013

    Ina maana hapa ni DSM? eneo gani? mbona sijaona kitu kama hiki? Isije ikawa hapa ni MOSHI jamani au AR!

    ReplyDelete
  11. Mdau hapo ni BONGO DA'SLAMAAM babake hapo ni kona ya Ohio Str. na Garden Evenue pele PPF Towers mwanawane wala sio sayari nyingine!

    Kwani wao Moshi na AR wakiweza na sisi tushindwe tuna nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...