Rais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete akimkaribisha ikulu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufalme wa Oman Mhe.Yousuf bin Alawi bin Abdullah wakati waziri huyo alipomtembelea na kufanya naye Mazungumzo.
Rais Dkt,Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya nje wa Oman Mhe.Yousuf Bin Alawi bin Abdullah ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Mhe.Yousuf Bin Alawi bin Abdullah(kushoto) baada ya kufanya naye mazungumzo ikulu jijini Dar es Salaam leo.Wengine ni wajumbe waliofutana na Waziri huyo(picha na Freddy Maro)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...