Jengo la zahanati katika kijiji cha Ihombwe wilayani Kilosa lililojengwa kwa msaada wa Hifadhi za taifa Tanzania(TANAPA).
Jiwe la msingi katika jengo hilo.
Kaimu mhifadhi mkuu wa mikumi bw Damian Saru akizungumza na wanahabari walipotembelea zahanati hiyo.
Muuguzi mkuu katika zahanati ya Ihombwe bi Eda Nundwe akizungumza na wanahabari (hawako picani).
Mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha Ihombwe bw Philemon Robert akizungumza na wanahabri (hawako pichani).Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...