Mwenyekiti wa CCM,Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipigira kura kuchagua wajumbe wa Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa katika ukumbi wa White House uliopo makao makuu ya CCM mjini Dodoma jana jioni.Kushoto ni Makamu wa Mwenyekiti CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein, Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana na Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM -Bara,Ndugu Philip Mangula.
Baadhi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakipiga kura zao kuwachagua wajumbe wa Kamati kuu jana jioni mjini Dodoma katika ukumbi wa White House(picha na Freddy Maro).
Makatibu wa NEC, Zakia Meghji (Uchumi na Fedha) na Dk. Asha-Rose Migiro (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) wakipiga kura, wakati wa uchaguzi wa Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM uliofanywa na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM jana jioni,wakati wa Kikao cha NEC kilichofanyika katika ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Kushoto ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (Picha na Bashir Nkoromo).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...