KILA IJUMAA NI SIKU YA SHANGWE , WADAU WOTE WALA BATA MNAKARIBISHWA USIKU WA BEAT DOWN .
KUTANA NA MANDHARI NZURI KWENYE LOUNGE YA KISASA NA WAJANJA WA TOWN TUJICHANGANYE HUKU( DJ BIKE WA RADIO 1) AKISABABISHA NA NGOMA ZA UKWELI.
KIINGILIO NI ELFEU KUMI (10,000/=)
TUNAANZA ILE MIDA YETU YA SA 3 MPAKA ASUBUI.
TUKO MTAA WA ZAMBIA NA MKWAWA . KATA KUSHOTO BAADA YA KCB BANK, NENDA HADI ZAMBIA AMBAYO NI KONA YA PILI KUSHOTO ALAFU KATA KULIA MTAA WA MKWAWA NA UTATUONA NYUMBA YA 5 KULIA.
BASI HIYO NDIO MASKANI YA WAJANJA WA TOWN
KARIBUNI.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...