Salaam Ankal,


Naomba kukufahamisha kwamba ile Leseni ya udereva iliyookotwa jana maeneo ya Boko barabara ya Ununio DSM Tz,mwenyewe tayari amepatikana na amekabidhiwa.
Wadau bado wanaendelea kunipigia simu nadhani ni vizuri wakifahamishwa hili.

Ahsante sana na Lidumu Libeneke la Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...