Mkurugenzi Msaidizi-Idara ya Mipango (OR MUU) Bi. Alberta Kinabo akiwasilisha mada wakati wa Mkutano wa Baraza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR MUU) uliofanyika hivi karibuni.
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu wa OR MUU Bw. Aloyce Msigwa akifafanua kuhusu hoja mbalimbali zilizowasilishwa na watumishi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR MUU).
Wajumbe wa Sekretarieti wakichukua taarifa wakati mkutano wa Baraza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR MUU).
Sehemu ya wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma wakichukua taarifa mbalimbali wakati wa mkutano.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...