Asalaam alaykhum wajina,
Nimeinasa taswira hii leo jmosi wakati naangalia taarifa ya habari ya dunia toka CNN na kuona jamaa wanaripoti kuanguka kwa jengo Tanzania na kuainisha chanzo cha habari ni ISSAMICHUZI BLOG. Hongera sana wajina hawa jamaa wamerusha habari hii kwa kujiamini wakiwa na imani imetoka katika chanzo cha habari kinachoaminika na chenye kutoa habari fasta kuliko vyote nchini.


BLOG YA JAMII ISONGE MBELE.

Chef Issa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa


  1. Big up Ankal

    ReplyDelete
  2. SAFI SANA HII, JAMAA WANAKOPA MA NEWS

    ReplyDelete
  3. POLEN WATANZANIA WENZANGU KWA KIPINDI KIGUMU KILICHOFANAN NA BOTI LILOZAMA UOKOAJI WA SHIDA.

    NA MIE NIMEFURAHI KUONA KTK BBC NIKIWA SWEDEN

    ReplyDelete
  4. WAANDISHI TANZANIA TUBADILI MFUMO WA KULIANDIKA JAMBO

    NIMESOMA IPPMEDIA LEO ETI MTU ANAANDIKA RAISI ALITEMBELEA KUONA KASI ZA UOKOAJI.LAKINI ALISHINDWA KUFIKA KARIBU NA TUKIO BAADA YA MAAFISA WA USALAMA KUMTAHADHARISHA JENGO LINGINE LA JIRANI HALIPO KTK KIWANGO CHA UBORA .
    JE HAWAONI UANDISHI NI FELI INAMAANA WALE WALIOKUA KARIBU NDO WAANGUKIWE
    MWANDISH BERTA SHAYO 31 MARCH 2013

    ReplyDelete
  5. ANKAL kwema, ee bwana nilikuwa nacheki kipindi cha Uswazi nikamuona jamaa mmoja wa longtime Athumani Digadiga, alichosema Digadiga ni kuwa wakiwezeshwa yeye pamoja na madancer wenzake wa zamani watafanya kufufuru ya kufa mtu. Sasa Ankal kwanini usiwadhamini hawa jamaa wakapiga show najua sie vijana wa zamani tutatoa sapport, anasema wenzake wengi wapo na wanapatikana. Digadiga na limwili lake kwa sasa kaweza kujibinua hakika ng'ombe hazeeki maini. Mtafute muweke mambo sawa, hela hiyo AUNCLE!

    ReplyDelete
  6. Big up sana Ankal, Michuzi Blog Team, na Uongozi wake maana wote mmehusika kwa kuiweka globu ya jamii juu duniani!

    Hip hip hooray! Viva Michuzi Globu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...