Diwani wa Kata ya Kilangala wilayani Lindi Vijijini Somoe Mwaya akihamasisha wananchi kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).
Meneja wa CHF, Constantine Makalla akimsikiliza mmoja wa wananchi waliohudhuria mafunzo hayo.
Ofisa Masoko na Elimu kwa Umma Grace Kisinga akielekeza kauli mbiu ya NHIF/CHF kwa wananchi, kushoto kwake ni Meneja wa NHIF Mkoa wa Lindi Fortunata Raymond.
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...