Malaika Team wakitoa maelezo kwa wateja waliofika kwenye maonyesho ya bidhaa wanazozikodisha kwa ajili ya matukio na hafla mbali mbali zikiwemo Harusi, mikutano, sherehe za kuzaliwa n.k. Onesho la Malaika limefanyika mwishoni mwa wiki katika jengo la Kida Plaza, Mikocheni, jijini Dar es salaam. Wao ni kinadada wajasiriamali waliopania kuleta vitu vyenye ubora wa kimataifa katika kila aina ya minuso. Chini ni kadi yao ya mwaliko pamoja na contacts zao...


Baadhi ya wateja wakiangalia thamani hizo zenye ubora na za kupendeza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. thamani ni gharama au value... zinaitwa samani au furniture

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...