Chama cha wafanyabiashara, wenye viwanda na kilimo (Tanzania chember of commerce Industry and agriculture-TCCIA) mkoa wa Dar es salaam kinapenda kuwataarifu wafanyabiashara wote wa mkoa wa Dar es salaam kwamba kutakuwa na semina elekezi kwa wafanyabiashara wote wa mkoa wa Dar es salaam juu ya utumiaji wa mashine za ukusanyaji kodi na mapungufu yaliyojitokeza kupatiwa ufumbuzi, pia elimu juu ya ulipaji kodi itatolewa. semina hii itaendeshwa na TCCIA kwa kushirikiana na TRA.

KINONDONI- Semina itafanyika katika hotel ya Rombo green view iliyopo sinza shekilango tarehe 22/03/2013 kuanzia saa tatu na nusu asubuhi mpaka saa saba mchana.


Mtendaji

TCCIA Dar es Salaam Regional Chamber
Tanzania Chamber of Commerce, Industry & Agriculture
Air Tanzania Building, 3rd fl

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...