Mwanamuziki Madee akiimba sambamba na umati wa wapenzi wa muziki wakati wa uzinduzi wa kinywaji baridi cha Coca-Cola Zero uliofanyika Coco Beach  Oysterbay jijini Dar es Salaam.

 Mwanamuziki nyota wa THT Linah (kulia), akicheza na mmoja wa mashabiki wake aliyepanda jukwaani wakati wa uzinduzi wa kinywaji cha Coca-Cola Zero uliofanyika Coco Beach jijini Dar es Salaam.
Ommy Dimples akifanya vitu vyake wakati wa uzinduzi wa kinywaji cha Coca-Cola Zero katika ufukwe wa Coco

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tunakukarubusha kwenye tamasha la mama ntilie Yombo Dovya jumamosi aprili 13/2013 saa sita mchana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...